Sunday, June 22, 2014

IJUE BAADHI YA MITAA YA JIJI LA MBEYA

Hapa ni barabarakutoka eneo la Soweto kuelekea chuo kikuu cha TEKU na shule ya sekondari Southern Highland inayomilikiwa na , Philip Mulugo
Hili ni eneo la kungilia ofisi za SIDO Mbeya eneo la Block T. Jijini Mbeya.

Mbeya sasa inapendeza, hili ni eneo la kwenda Shule ya Msingi Samora, Airport Jijini Mbeya.


 Hapa ni barabara inayotok eneo la Esso, Jijini Mbeya kuelekea Forest Mpya, Jijini Mbeya. Sasa ni Lami tupu, hii yote inatokana na utekelezaji wa ilani ya CCM kwa msaada wa benki ya Dunia.


0 comments:

Post a Comment